Kundi la muziki P-Unit kutoka Kenya ladaiwa kusambaratika ikiwa ni miaka saba toka waungane. | HABARI MATUKIO TEKNOLOJIA NDANI NA NJE YA Tz

Kundi la muziki P-Unit kutoka Kenya ladaiwa kusambaratika ikiwa ni miaka saba toka waungane.

P-unit

Kwa mujibu wa Standard Digital, members wa kundi hilo lililozaliwa mwaka 2007, kila mmoja ameanza kufanya solo project.
Frasha anatarajiwa kuzindua project yake binafsi Ijumaa hii, huku Gabu na Bon Eye wakifuata mkondo huo pia.
P-Unit ambao ni washindi wa tuzo za Channel O, walifanikiwa kutoa album yao ya kwanza “Wagenge Hao” mwaka 2010 ambayo ilibeba hits kama ‘Kare’, ‘Una’ (featuring DNA), ‘Hapa Kule’, ‘Kushoto Kulia’ and ‘Si Lazima’, ambazo zilifanya vizuri na kukuza jina lao Afrika Mashariki.
Kundi lingine la muziki Kenya lililosambaratika miaka ya karibuni ni Camp Mulla, ambao nao pia kila mmoja wao sasa anafanya muziki kama solo.
Source: SDE
SHARE

Unknown

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment