Sina mimba, mniache – Lady Jaydee | HABARI MATUKIO TEKNOLOJIA NDANI NA NJE YA Tz

Sina mimba, mniache – Lady Jaydee

Lady Jaydee amekasirika. Ni baada ya followers wake kumhisia kuwa ana ana ujauzito kutokana na picha aliyoiweka Instagram.
11017632_1560363950897891_581766803_n
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Lady Jaydee ameandika:
Imebidi nifute post, Ili nielezee upya, hivi watu hamuelewi kiswahili au ni nini ??? Nimesema tumbo limevimba sababu ya sahani, nikimaanisha mlo na nili post nakula hapo awali, Sasa hayo maneno mengine yanatokea wapi?, Au niwe naandika kichina? Kwani mliambiwa nitazaa Rais atakaewatoa ktk shida zote mpka mnishikilie mimba mimba, Hebu niacheni basi khaaa, Nisiishi Kisa mimba? Aisee mnaboa sana, Basi niueni Kisa sijazaa, Ili niwaondolee kero kabisa.


SHARE

Unknown

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment