HABARI MATUKIO TEKNOLOJIA NDANI NA NJE YA Tz - LIFE STORRIES HABARI MATUKIO TEKNOLOJIA NDANI NA NJE YA Tz: LIFE STORRIES - All Post
Showing posts with label LIFE STORRIES. Show all posts
Showing posts with label LIFE STORRIES. Show all posts

PICHA:Ufunguzi wa Duka Jipya la “Viwalo” la Nargis Mohammed






Mrembo na mwigizaji wa filamu hapa Bongo, Nargis Mohammed hivi juzi  amefungua duka jipya la mavazi  ya wanawake ikwa ni muendelezo wa maduka yake yanaofahamika kwa jinala la fashoonista .
Hapo juu ni baadhi ya picha za ufunguzi wa duka hilo lililopo Nyumbani Lounge karibu na Best Bite, jijini Dar.

Hongera sana Nargis.

Ile picha ya askari kupigana mabusu Bongo iliteka HEADLINES! iko hii mpya toka Uingereza…

Ile picha ya askari kupigana mabusu Bongo iliteka HEADLINES! iko hii mpya toka Uingereza…
poliseUnakumbuka ile Stori ya askari Asuma Mpaji na Veronica Nazaremo kufukuzwa kazi Mkoani Kagera baada ya picha zao kusambaa mitandaoni wakionekana kupigana mabusu? safari hii nakuletea tena stori inayofanana na hiyo ambayo imetokea Nchini Uingereza.
Polisi wa nchi hiyo Uingereza waliamua kumshtaki mwenzao baada ya kufanya kitendo cha kudhalilisha jeshi la nchi la nchi hiyo kwa kufanya tendo la ndoa tena mbele za watu akiwa na sare za kazi.
Kitendo hicho kimemfanya kufukuzwa kazi bila kupewa taarifa za awali haraka baada ya kwenda kwenye shughuli zake za kila siku za usalama na kufanya kitendo hicho huku akijua ni kinyume na sheria tena akiwa amezungukwa na watu.
Msaidizi mkuu wa kituo hicho Russ Middleton alisema wanaamini hatua hiyo itakua fundisho kwa wengine kutokana na kitendo hicho cha udhalilisha.
Kwa upande mwingine polisi mwingine nchini Uruguay naye alikumbwa na mkasa unaofanana na huo baada ya kucheza na mwanamke akiwa uchi katika kituo chake cha kazi.
Picha ya askari huyo zilinaswa na mitandano mbalimbali na kujikuta zikisambaa kwa kasi hali iliyosababisha ashtakiwe kwa kosa hilo

MAZISHI YA BABA WA P-SQUARE KAMA SHEREHE

MAZISHI YA BABA WA P-SQUARE KAMA SHEREHE
Acha kabisa! Mazishi ya baba wa mastaa wa muziki wa Nigeria, mapacha Peter na Paul Okoye wanaounda ‘Kruu’ ya P-Square, Moses Okoye aliyefariki dunia Novemba 24, 2014 yamekuwa kama sherehe, Ijumaa Wikienda limedodosa kilichojiri.
Mwili wa baba wa P-Square, marehemu Moses Okoye ukisindikizwa kwenye gari kwa tarumbeta.
Ishu hiyo ilijiri nyumbani kwa mastaa hao eneo la Ifitedunu, Jimbo la Anambra nchini humo Ijumaa iliyopita ikiwa ni siku 65 tangu mzee huyo alipofariki dunia baada ya kufanyiwa oparesheni ya goti alipodondoka kwenye ngazi nyumbani kwake maeneo hayo.
Wakina P-square wakiwa na wake zao katika msiba huo.
Tofauti na ilivyozoeleka kwamba kwenye msiba watu huwa wanalia na kuomboleza, mazishi hayo yaliyohudhuriwa na mastaa kibao nchini humo yalikuwa tofauti kwani watu walikuwa na nyuso za tabasamu huku wakiserebuka na matarumbeta juu.
Ulinzi mkali ukiimarishwa katika msiba huo.
Mbali na kuonekana kuwa kama sherehe, pia mazishi hayo yaliripotiwa kuwa ya gharama zaidi kuanzia jeneza lililobeba mwili wa baba yao, gari ‘spesho’ lililokuwa na jina la Dady badala ya namba za usajili na wahudhuriaji waliopiga sare nyeupe huku wakijifotoa picha wakicheka na kutupia kwenye mitandao ya kijamii.
Mwili wa baba wa P-Square ukiwa kwenye jeneza
Pia kivutio kikubwa kilikuwa ni wake wa mastaa hao ambao walipewa ulinzi mkali uliowekwa katika mazishi hayo yaliyohudhuriwa kwa mualiko maalum.
Baba wa P-Square (aliyenyosha mikono) enzi za uhai wake.
Cha kushangaza, wakati mwili wa baba yao ukiwa mochwari, jamaa hao walidaiwa kuendelea na ratiba za kimuziki huku wakifanya shoo kama kawa jambo ambalo kwa Bongo haliwezekani.
Kwa sasa mastaa hao hawana mzazi hata mmoja baada ya mama yao naye kufariki dunia mwaka 2012

JOTI wa Orijino Komedi Amwisha Pete Ya Uchumba Mpenzi Wake Wa Siku Nyingi


Kwa mujibuwa mtandao wa  JF, Mwigizaji  wa vichekesho Lucas Mhuvile, almaarufu kama Joti, anayepiga kazi kwenye kampuni ya Orijino Komedi, amemvisha pete mpenzi wake wa ....
Siku nyingi, ikiwa ni ishara na dalili njema kwamba safari ya kuelekea kwenye taasisi muhimu zaidi duniani ya NDOA imewadia..
Akiwa na swahiba wake wa siku nyingi, Mr. Mjuni Sylvatory a.k.a Mpoki, Joti alionekana mwenye furaha muda wote kwa kutimiza tendo hilo huku akiwa amealika watu wachache sana kuhudhuria tukio hilo.
Bongomovies.com bado haijazithibitisha taarifa hizi.
Kama ni kweli, tunampongeza sana na kumtakia kila la kheri yeye pamoja na mwenza wake

Photos: Unbelievable PHOTOS of The Expensive Cars in Zari’s Parking Lot!!!


 
Going by the look of things, Zari Hassan is by far one of the richest socialites in East Africa. Her dating and relationship records suggest and show links with top A-class celebrities which explains the possible root of her wealth.

Anyway, the lass who has managed to completely woo Diamond Platnumz recently shared photos of her parking lot, raising eyebrows because of the posh and exorbitant vehicles in it.

Check them out.

TATIZO LA NYAMA KUJITOKEZA NJIA YA HAJA KUBWA {HEMORRHoid}

TATIZO LA NYAMA KUJITOKEZA NJIA YA HAJA KUBWA {HEMORRHoid}
Wiki iliyopita tuliweza kuona nini maana kubwa ya tatizo hili la kutokwa na kijinyama katika sehemu au maeneo ya haja kubwa na leo tutaweza kuona basi vyanzo au visababishi hasa vya tatizo hili kwa mwanadamu.
VISABABISHI
Sasa wataalamu bado hawajawa na majibu kamili kuhusiana na tatizo hili la kutokwa na kijinyama katika maeneo ya haja kubwa husababishwa na kitu gani hasa lakini wameweza kutoa baadhi ya vitu ambavyo vinaaminika kwa kiwango kikubwa sana husababisha hali hii kujitokeza kwa mwanadamu, na vitu hivyo basi ni kama vifuatayo;
Kupata choo kigumu kupita kiasi kwa mwanadamu wataalamu wanaita constipation mara nyingi imekuwa ni chanzo kikubwa sana cha tatizo hili la mtu kutokwa na kinyama katika maeneo ya haja kubwa na kuna uwezekano ikawa ni bawasili ya ndani au ya nje yenye kuonekana, kwa hiyo kama mtu anakumbwa na hali ya kupata choo kigumu basi kunauwezekano mkubwa sana mtu huyo akasumbuliwa na tatizo hili la bawasili.
Hali ya kuharisha sana {heavy diarrhea}, kwa mtu ambaye anapatwa na hali ya kuharisha kwa muda mrefu basi naye pia anauwezekano mkubwa sana wa kukumbwa na tatizo hili la kutokwa na kijinyama katika maeneo ya haja kubwa au bawasili {hemorrhoid}.
Kukosekana kwa baadhi ya vyakula, kuna baadhi ya vyakula vinapokosekana katika mwili wa mwanadamu au visipotumika sana kwa mtu huweza kusababisha mtu kupata choo 
kigumu kupita kiasi na kama anapatwa na hali hii basi kunauwezekano mkubwa sana mtu huyo akakumbwa na tatizo la bawasili na vyakula hivyo ni mboga za majani na matunda kwa wingi ndani ya mwili.
Hali ya ujauzito kwa akina mama, hii pia imekuwa ni sababu kubwa sana inayosababisha suala zima la kutokwa na kijinyama maeneo ya haja kubwa na hii ni kwa sababu hali ya ujauzito kwa mama husababisha kukua au kuongezeka kwa mji wa mimba ambao hutumika hasa kumuhifadhi mtoto na kwa sababu hii basi inaweza kusababisha vascular structure au vijinyama katika maeneo ya haja kubwa kwa mama kuongezeka ukubwa na hivyo basi kuwa ni tatizo,
lakini mara nyingi mwanamke akishajifungua kunauwezekano kikapotea lakini kama kinabaki basi ni vema kufika katika vituo vya afya kwa ajili ya matibabu zaidi.Kukaa kwa muda mrefu, hali ya kukaa kwa muda mrefu kwa mwanadamu nayo pia imekuwa ni kisababishi kikubwa sana cha tatizo kubwa la tumbo kujaa gesi na kupata choo kigumu kupita kiasi {constipation}.
Mara nyingi watu wanaokumbwa na shida hii kunauwezekano mkubwa sana wa kutokwa na kinyama au bawasili, hasa kwa wanaotumia sana vyoo vya kukaa na kufanya hivyo kwa muda mrefu.
Hali ya wanadamu kunyanyua vitu vizito kupita kiasi kwa mwanadamu na ikawa ni zoezi endelevu kwa muda basi hali hii inaweza sababisha mtu kupatwa na tatizo la kutokwa na kijinyama au bawasili.
Itaendelea wiki ijayo.

MSANII WA FILAMU BONGO ROSE NDAUKA AFUNGUKA KUTOMMISI MZAZI MWENZAKE

MSANII WA FILAMU BONGO ROSE NDAUKA AFUNGUKA KUTOMMISI MZAZI MWENZAKE


Mwigizaji wa filamu Bongo, Rose Ndauka.
KAMA kawa kama dawa, tunakutana tena katika safu yetu ya Sindano 5, kutokana na maombi mliyonitumia wiki iliyopita tulipoianza safu hii, leo tunawaletea mwigizaji Rose Ndauka ambaye wengi mlimpendekeza awepo katika safu hii.
Mahojiano kati yake na paparazi wetu yalikuwa hivi:
    •Paparazi: Rose Ndauka mambo vipi? Siri ya urembo wako ni nini maana kuna tetesi kwamba mkorogo ndiyo unaokufanya uonekane mzuri?
Rose Ndauka: Siri ya urembo wangu anaijua Mungu. Hakuna zaidi ya hapo.
    •Paparazi: Umeachana na mzazi mwenzio, Malick Bandawe ambaye mliishi kwa muda mrefu, nini unakimisi kutoka kwake. Rose Ndauka: Hakuna ninachokimisi kutoka kwake. Maisha yanaendelea!
    •Paparazi: Unakumbuka kiasi cha fedha ulichoanza kulipwa katika kazi yako ya kwanza?
Rose Ndauka: Ndiyo nakumbuka, muvi ya kwanza nililipwa laki tatu tu.
   Rose Ndauka akiwa na mzazi mwenzake, Malick Bandawe.
    •Paparazi: Msanii gani wa kiume unayemkubali sana Bongo Movies? Rose Ndauka: Kiukweli namkubali sana Single Mtambalike ‘Richie Richie’.
    •Paparazi: Wasanii wengi wanapoanza maisha huwa wanapangiwa

staa wa filamu bongo Wolper awapa makavu masinichi wote wa bongo movie

staa wa filamu bongo Wolper awapa makavu masinichi wote wa bongo movie

“Nawapenda sana Bongo Movie lakini chakusikitisha vile vichwa mnavyoviamini kwenye tasinia ndo masnichi wakubwa simtoke huko tafuteni kazi nyingne kama hamjasoma kama mimi jifunzeni kushona nguo kama mimi me sahivi na fundi wangu Mgece naingia classasubuh najioni
nimeshachoka kutumikishwa na Wahindi ....kipaji changu kingine mitindo so najisogeza kwenye mitindo mbali mbali sio kubanana sehemu ambapo ampendani kazi majungu nakusnchiana kila siku .. Nawahindi awatetereki maana hao mnaowaita magwiji ndio mstari wa mbele kukandamiza .. sasa sijui lengo nini kupata wao tuu au basi tuu roho mbaya..Nikipata majina yao yote nitawawekea na mapicha yao..siongei kama movie star naongea kama mwananchi niaependa sanaa iliyonishinda nakujitoa bila matangazo..I hate u wanyonyaji nawachukia saaaaana” Wolper alimaliza

Hii ni kutokana na ule mvutano unaoendelea kuhusina na bei ya filamu za kibongo, wapo wanaosema ishuke na wengine wakitaka ibaki pale pal

LOL!! NOMA SANA HUDAAH MONROE WA KENYA AMETUPIA PICHA NYINGINE MPYA ZAIDI!!!







Diamond na AliKiba kupandishwa jukwaa moja mwezi huu!!


Kampuni ya simu ya mkononi ya Tigo imetangaza kuandaa tamasha kubwa kabisa la muziki la aina yake lijulikanalo kama “Kiboko Yao” litakalofanyika Januari 24, mwaka huu Jijini Dar es Salaam katika viwanja vya Leaders Club Kinondoni. 
Akiongea leo katika mkutano wake na waandishi wa habari Meneja wa Chapa wa Tigo William Mpinga, amesema tamasha hilo litatumbuizwa na wasanii 18 wakali, linaenda sambamba na kutambulisha huduma mpya ya tiGO Music itakayowaletea wateja wao burudani ya muziki kupitia simu zao

 

Katika Mkutano huo na waandishi wa habari pia walikuwemo baadhi ya wasanii watakaopanda jukwaani katika tamasha la Kiboko Yao, akiwemo Diamond Platnumz, Ali Kiba, Christian Bella, Ben Pol, Mwana FA, Fid Q, Isha Mashauzi, Vanessa Mdee, Yamoto Band pamoja na bendi kongwe za Msondo na Sikind

Chuchu Hans achafua hali ya hewa instagram kwa kuonyesha hii tattoo kiunoni!!!!


jamani jamani sasa hawa wasanii ni laana au kutafuta kiki au umaarufu unawasumbua, swala la
msanii kama chuchu kupiga picha kama hizi na kuruhusu zisambae si kukosa maadili huku jamani ,hata kama ndo umechora tatooo sio poa sana kuwaonyesha watu amba hawahusiki kabisa,
wasanii wa bongo badilikeni.

Mfahamu kwa undani zaidi mwanadada ZARI wa Uganda aliyetibua penzi la WEMA na Diamond. Ni tajiri balaaa!




JINA Zari hivi sasa limekuwa jina maarufu katika masikio ya Watanzania, Afrika Mashariki na kwingineko hasa baada ya mwanadada huyo mfanyabiashara na mwanamuziki wa Uganda kuwa na urafiki na Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nassib Abdul maarufu kwa jina la usanii Diamond Platnum.
 
Kwenye mitandao ya kijamii kama Tweeter, Facebook, Instagram na hata Whatsapp lazima utakutana na jina Zari akiunganishwa na Diamond na wengine wataunganisha na Wema Sepetu aliyewahi kuwa mpenzi wa Diamond.
 
Uhusiano kati ya Zari na Diamond umezua gumzo kila eneo Tanzania na Afrika Mashariki huku wakifananishwa na mastaa wa nje kama vile Kanye West na Kim Kardashian kwa namna wanavyofuatana wakati wote huku Diamond akionesha kila aina ya mbwembwe za kumjali mrembo huyo kutoka Kampala, Uganda.
 
Uhusiano wa Zari na Diamond umewafanya kuandamana kila sehemu hivi sasa. Wawili hao walianza kuonekana kuwa na ukaribu wa mahusiano tangu Diamond alipokwenda Afrika Kusini kwenye Tuzo za Channel O ambapo Diamond aliibuka na ushindi wa Tuzo tatu.
 
Baada ya Tuzo hizo, Zari alimualika Diamond kushiriki katika ‘pati’ maarufu ambayo mwanadada huyo huandaa kila mwaka nchini Uganda ambapo mwaka huu ilijulikana kama All White Ciroc Party.
 
Wawili hao baada ya sherehe hiyo, walifuatana ambapo Zari alimsindikiza Diamond nchini Rwanda na Burundi alipokwenda kutoa burudani nchini humo, na picha kusambazwa katika mitandao ya kijamii na kuwafanya wawili hao kuwa gumzo hivi sasa katika mitandao Tanzania na Afrika Mashariki. Je, Zari ni nani hasa? 
 
Zarina Hassan Tlale,maarufu kama Zari ni Mganda anayeishi Afrika Kusini. Mrembo huyo ni mwanamuziki na mfanyabiashara. Ni mwanamke aliyefanikiwa na anayependa kuishi maisha ya kifahari. Anamiliki magari ya kifahari na yenye gharama kubwa kama Lamborghini Gallardo, BMW- 2006, Chrysler-2008, Audi Q7-2010 na Ranger Rover Sports.
 
Mwanadada huyo ni binti wa Halima Sultan Hassan na Nasur Hassan akiwa na asili ya damu mchanganyiko ikiwa ni pamoja na ya Kihindi , Toro, Somalia na Burundi kutoka mji wa Jinja, Uganda. Babu mzaa mama yake anatoka India na bibi yake ni kutoka Uganda. Babu yake mzaa baba ni kutoka Somalia na bibi yake mzaa baba anatoka Burundi.
 
Zari maarufu kama The Bosslady aliwahi kuolewa na mwanamume anayejulikana kwa jina la Ivan na kubarikiwa watoto watatu wa kiume Pinto, Didy na Quincy na anamiliki kampuni tatu. Mwanadada huyu alizaliwa Septemba 23, 1980. Zari amekulia katika mji wa Jinja katika nchi ya Afrika Mashariki inayojulikana kama Uganda.
 
Zari alisoma shule ya msingi, kisha kwenda Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Jinja ambapo alisoma kwa bidii kutimiza ndoto zake. Baada ya kumaliza elimu ya sekondari, mwanadada huyo alihamia katika mji mkuu wa nchi hiyo, Kampala ambapo alikuwa akitoa burudani ya muziki katika maeneo ya starehe kabla ya kuhamia mjini London, Uingereza na kusomea Stashahada ya masuala ya urembo (cosmetology).
 
Historia yake kimuziki inaonesha Zari alianza kuimba akiwa na umri mdogo wakati akisoma shule ya msingi ambapo alikuwa akitoa burudani katika matamasha ya muziki yaliyokuwa yanaandaliwa na wafanyakazi wa shule, wakati wa hafla za mwishoni mwa mwaka na katika mashindano mengine ya jumuiya akiwakilisha shule yake.
 
Ingawa amekulia katika familia ya Kiislamu yenye wasichana sita na wavulana wawili, Zari hakuacha mapenzi yake kwenye muziki. Alianza muziki akiwa na umri mdogo na albamu yake ina nyimbo kali kama ‘Toloba’ na ‘Hotter Than Them’. Watu waliomvutia katika muziki ni Wasanii wa Marekani Arethal Franklin na Whitney Houston wakati akiwa sekondari.
 
Afrika waliomvutia akapenda muziki ni wanamuziki wa Afrika Kusini Brenda Fassie, Miriam Makeba, Lucky Dube na Malkia wa Muziki Afrika Kusini, Yvone Chaka Chaka.
 
 Alipojiunga na sekondari alijiunga na makundi ya dansi, drama na muziki jambo ambalo lilimsaidia kuchaguliwa kwa miaka miwili mfululizo la Muigizaji Bora.
 
Baada ya miaka miwili ya kufanya vizuri katika majukwaa na matamasha ya shule, alipumzika na kuhama kutoka Uganda kwenda London, Uingereza na kuendelea na masomo yake lakini bado mapenzi yake kwa muziki yakiwa mawazoni mwake.

Zari kwa msaada wa familia, mashabiki na marafiki wa- naopenda mtindo wa muziki wake na kuamini anaweza aliamua kuchukua hatua mwaka 2007 wa kurekodi singo yake ya kwanza inayoitwa Oliwange (ikiwa na maana wewe ni wangu) .
 
Mwaka 2008 Zari alishinda Tuzo ya Channel O ya Video Bora ya Muziki ya Msanii Bora Afrika Mshariki. Hafla ya tuzo hizo ilifanyika Johannesburg, Afrika Kusini. Tangu hapo Zari ameendelea kutoa nyimbo zaidi za kuvutia, huku akitiwa moyo na mashabiki wake wakati huo.
 
Mwaka 2009 alipata Tuzo inayojulikana kama Diva ya mwaka katika kipengele cha Diaspora tangu hapo aliendelea kutengeneza muziki. Zari hivi sasa anaishi Afrika Kusini ambapo anamiliki maduka makubwa ya vipodozi na shule ya elimu ya juu mjini Pretoria wakati akiendelea kujijenga kimuziki.
 
Inaelezwa kuwa Zari na aliyekuwa mumewe Ivan wanamiliki Shule ya Brooklyn City ambayo ina kampasi sita Afrika Kusini, huku kila moja ikiwa na wanafunzi kati ya 800 hadi 2,100. Wanafunzi hao hupewa vyeti vya taifa wanapomaliza mwaka. Vile vile Zari amejenga hosteli iliyopo barabara ya Sir Apollo Kaggwa, Kampala na anamiliki nyumba kadhaa katika mji huo hasa eneo la Munyonyo, pamoja na duka kubwa la nguo Afrika Kusini.
 
Ingawa muziki wake haujafanya vizuri kama wanamuziki wengine wa Uganda akiwemo Jose Chameleone, Bebe Cool, Bobi Wine na Ragga Dee, Zari amekuwa akifurahia kwa mafanikio zaidi kwenye biashara na kutokana na hilo anasema lazima arudishe kwa jamii na hivyo kuamua kusaidia vituo na taasisi kadhaa zinazohitaji misaada kama Katalemwa Cheshire Home, Sanyu Babies’ Home pamoja na Gereza la Luzira.
 
Mfano mwaka 2013 kutokana na moyo wake wa kusaidia, kwa kutimiza hilo baada ya sherehe zake anazozifanya kila mwisho wa mwaka aliamua kutembelea Kituo cha Watoto Yatima cha M-Lisada kilichopo Nsambya siku moja kabla ya Sikukuu ya Krismasi, akifuatana na watoto wake Pinto, Didy na Quincy.
 
Alitoa zawadi maalum kwa watoto hao, ambapo Zari alishiriki kuandaa chakula cha Krismasi na kisha baadaye kutoa msaada wa vitu  kama vile taulo za wanawake, sukari, biskuti, mchele na matoke. Mbali na masuala mengine yote, kwa mujibu wa tafiti mbalimbali, watu wengi nchini Uganda wanakubaliana kuwa Zari ndio Mwanamke Mrembo zaidi nchini humo.
 
“Sitafuti umaarufu, wenyewe umaarufu ndio hunifuata,” aliwahi Zari kusema kupitia mtandao wa Red Pepper akikanusha habari za baadhi ya watu wanaodai kuwa anatafuta umaarufu kwa nguvu.
 
Habari zake kuandikwa katika mitandao ya kijamii pamoja na shughuli zake za uhisani zimesababisha wengi kudai kuwa anataka tu umaarufu, kujulikana na kuzungumziwa kila wakati.Hata hivyo akijibu madai hayo, Zari alisema umaarufu unamtafuta yeye na sio kwamba yeye anautafuta.
 
 
 

Lulu: Mapedeshee ndiyo wanawalipa wasanii wa kike siyo filamu

ELIZABERTH Michael‘ Lulu’ amefunguka kuwa wasanii wa kike wa filamu wana biashara nyingine iliyojificha ndani ya ile ya filamu ambayo inawalipa zaidi.
Lulu amepasua kuwa wasanii hao wanawategemea mapedejee kuendesha maisha yao huku wengi wakiamini kwamba mabinti hao wa Bongo Movie wanalipwa vizuri kutokana na filamu wanazoigiza.
“Ukweli hauko hivyo, hali hii inatokana na wengi wetu kudumaa na hatuwazi kufanya mambo makubwa kwa kuigiza na wasanii wakubwa lakini hakuna anayeliona hili,” alifafanua.
“Hakuna anayefirikiria kuigiza na wasanii wa kimataifa kama Ritha Dominic ili sanaa imlipe na wengi wanawategemee mapedejee au biashara zisizo rasmi, kwani filamu inaonekana ipo juu lakini wahusika wake wanalipwa kwa staili nyingine kabisa,” alisema.
Mwanaspo

WAFAHAMU WATOTO WATATU WA DEMU WAKE NA DIAMOND PLATINUMZ "ZARI" WATOTO WAZURI BALAA

WAFAHAMU WATOTO WATATU WA DEMU WAKE NA DIAMOND PLATINUMZ "ZARI" WATOTO WAZURI BALAA


Makala : Hashim Aziz na mitandao
Umaarufu wa msanii wa muziki, mjasiriamali na mkali wa fasheni kutoka Uganda anayeishi Afrika Kusini, Zarinah Hassan ‘Zari’ unazidi kupaa kila kukicha, habari ya mjini kwa sasa ikiwa ni
malavidavi ya nguvu anayopeana na Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’.
 
Mfanyabiashara mkubwa wa Kiganda mwenye makazi yake nchini Afrika Kusini, Ivan Ssemwanga akipozi.
Wengi wanamjua Zari kutokana na urembo wa kipekee aliojaliwa na mkwanja wa kufa mtu, akiwa anamiliki ndinga za bei mbaya zikiwemo Ranger Rover Sports 2014, BMW, Black Chrysler, Audi Q7, Silver Crysler 2008, Mercedes Benz Convertible na nyingine kibao, zote zikiwa na ‘plate number’ inayosomeka jina lake la Zari.
Hata hivyo, ni wachache wanaojua siri ya utajiri wa mwanadada huyo ambaye kiasili baba yake ana mchanganyiko wa Burundi na Somalia wakati mama yake ana mchanganyiko wa Mhindi na Mganda.
IVAN SSEMWANGA NDIYO KILA KITU
Kabla ya kuanza ‘projekti’ na Diamond, Zari alikuwa ameolewa na mfanyabiashara mkubwa wa Kiganda mwenye makazi yake nchini Afrika Kusini, Ivan Ssemwanga ambaye anatajwa kuwa miongoni mwa mabilionea wachache kutoka Uganda, akiwa anaingiza faida ya zaidi ya shilingi za Uganda milioni 700 kwa mwezi (zaidi ya shilingi milioni 428 za Kibongo).
MALI ANAZOMILIKI IVAN

Achana na magari ya kifahari ambayo hayana idadi, yote yakiwa na ‘plate number’ yenye jina la Ivan, mchizi pia anamiliki Private Jet (ndege binafsi). Pia anamiliki utitiri wa vyuo vya Brooklyn City College, vikiwa na jumla ya ‘campus’ sita nchini Afrika Kusini katika Majiji ya Durban, Pretoria na Johannesburg, kila moja ikiwa na wanachuo kati ya 800 hadi 2100.

Kozi zinazofundishwa kwenye vyuo vyake ni Information Technology (IT), Mining (uchimbaji wa madini) na Policing (Sera za biashara) ambazo zinapendwa na wengi Afrika Kusini, hali inayofanya apate wanachuo kibao.
Pia jamaa anamiliki bonge moja la mjengo lililopo Sir Apollo Kaggwa Road, Kampala pamoja na nyumba nyingine za kifahari zilizotapakaa maeneo ya Munyonyo, Bunga, Mutungo na Mukono nchini Uganda.
Pia jamaa anamiliki nyumba nyingine iliyopo Waterkloof Glen jijini Pretoria, Afrika Kusini na kuwa miongoni mwa Waganda wachache wanaomiliki nyumba nchini humo. Pia ana utitiri wa supermarkets, maduka ya vito vya thamani na maduka ya nguo (boutique) nchini Afrika Kusini.
KUFURU YA FEDHA
Hivi karibuni, Timu ya Taifa ya Uganda, Uganda Cranes ilikuwa na mechi dhidi ya Timu ya Taifa ya Zambia (Chipolopolo) ambapo jamaa alifanya kufuru ya aina yake kwa kutoa shilingi milioni 10 za Uganda (zaidi ya shilingi milioni 6 za Kibongo) kwa kila mchezaji na kuahidi kutoa shilingi milioni 5 za Uganda (zaidi ya milioni 3) kwa kila atakayefunga bao.
Zarinah Hassan ‘Zari’, 'The Boss Lady' akipozi.
Kama hiyo haitoshi, jamaa alikodi helikopta iliyombeba yeye na wapambe wake 10 aliosafiri nao kutoka Afrika Kusini na kuwalipia kila kitu kuelekea kwenye Mji wa Namboole, Uganda kushuhudia mechi hiyo ambayo hata hivyo Uganda haikushinda.
AMETOKEA WAPI?
Ivan aliyezaliwa kwenye familia yenye uwezo wa kawaida, alisafiri kwenda Afrika Kusini akitokea Uganda mwaka 2002 kwa msaada wa mpwa wake, Kyeyune aliyekuwa akifanya biashara ya magari ya kifahari Bondeni.
Baada ya kukaa naye kwa kipindi kifupi, Ivan naye alianza kujishughulisha na biashara hiyo ambapo alifanikiwa kutusua kinoma. Maisha yake yakabadilika, akaanza kuwekeza kwenye biashara nyingine nyingi mpaka akawa bilionea. Vijana wengi wa Afrika Kusini wanamtambua kwa jina la Shaba Wa Shaba 9 kutokana na uwezo wake wa kifedha.
ANAMPAJE JEURI YA FEDHA?

Hatimaye Huddah akiri kuwa yeye anajiuza ili maisha yake yaende!!!


Recently Huddah allegedly bought herself a new ‘Range Rover in which most people affiliated to South African Based Ugandan Businessman King Lawrence. It became apparent that the two had become too close and were dating. But what transpired today on Instagram will completely blow your mind..Huddah took shots at King Lawrence claiming he never knew him in the first place and that he was just a huge fan. 

Take a look..

After all is said and done, @Kinglawrenc needs to sit down and let us see the man behind his shady ass! I don’t like to give my time to irrelevant people lakini Huyu pumbavu inabidi mtu amkomeshe! @kinglawrenc , your work is to disrespect women! Kazi yake huyu bwana, is to sleep with women and take videos then expose on the Internet! Before I go any further please can you POST the RECEIPT , or the BANK TRANSFER DOCUMENTS for the Range Rover you are telling Ugandans and EA you bought for me fool! What money do u have? Huyu pumbavu was brought to my hotel In SA by a friend coz he said he is a BIG FAN, only to realize he was looking for fame . I barely spent 2hrs with this faggot and his crew , I took pics with him like a Celeb and a fan then went back to my room , But he chose to use that ONE pic he has with me and say we are dating all over Ugandan news papers! Begging me to go to Uganda so that newspapers will believe we are dating! Can u afford me you bastard? before you talk shit about a mother like Zari , please stop posting money , post a BANK STATEMENT that’s what matters and that shows A REAL BOSS! And also Stop creating fake stories that u ELEVATE lives of East African female celebrities you dunno me , I don’t know u! We met once, for hours at a hotel lobby and that’s it! Stop looking for fame with other men’s properties , cars and wives MOTHERFUCKER grow up!

Well and to think that King Lawrence was the bad guy in this piece he responded with some powerful jabs.

Can you be frank before God and declare how much I paid you for the Nite@huddahthebosschick. I called up and we negotiated the price. You came and we did our transaction. Im on my way to the hotel to try and get footage of us going into the room at nite and the time we left in the morning. By the way Huddah, what job to u do exactly? Men like me call you up, buy you a fast class ticket, book you into a good hotel and pay you. Thats what i did Bitch. Can u refund me? Bitches take cash so I don’t have transfer proof bse i paid u cash 
And He Didn’t Stop….
2nd Day – Thats the next day as you went shop and also convert the money I had paid you for a nite. You can say she looks happy and we have all changed cothes. You are bitter bse you wanted us to have a relationship and I refused. How can I be in a relationship with a girl I bought for a nite. A rejected woman is a bitter woman. Carry on with you international prostitution. Bitch likes to be paid in dollars. Any guy with money can ask me for a cell no for a Huddah One Nite Quotation.

Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unataka kuimarisha mishipa yako ili uweze kwenda Raundi mbili na kuendelea??....Bofya hapa ukutane na JIKO




Neema  Herbalist  &  Nutritional  Foods  Clinic  ni  wauzaji wa dawa  mbalimbali  za  asili.

Tunapenda  kuwatangazia  wateja  wetu  kuwa  tunayo  dawa nzuri  ya  asili  inatibu na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la ukosefu  na  upungufu  wa  nguvu  za  kiume. 

Dawa  hii iitwayo  JIKO  ni  ya  asili  kabisa  (PURE HERBAL) na inaponyesha  na  kumaliza  kabisa  tatizo  la  nguvu  za kiume  ndani  ya  siku  thelathini.

JINSI   DAWA  YA  JIKO  INAVYO  FANYA  KAZI.
Dawa ya JIKO inasadia katika mambo makuu yafuatayo:


i. Inasaidia kuimarisha mishipa ya uume ulio legea na hivyo kuufanya uume uwe na uwezo wa kusimama barabara kama msumari wakati wa tendo la ndoa.
 

ii. Inasaidia kusafisha mishipa ya kwenye uume na hivyo kusaidia katika kuongeza kasi ya msukumo wa damu kwenye mishipa ya kwenye uume.
 

iii. Husaidia kuongeza msukumo (pressure) wa damu kwenye mishipa ya uume na hivyo kuufanya uume kuwa na nguvu za ajabu.
 

iv. Husaidia kurelax mind na hivyo kumfanya mtu awe na uwezo wa kuconcentrate wakati wa tendo la ndoa bila kuathiriwa na msongo wa mawazo.
 

v. Humfanya mwanaume awe na uwezo wa kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara moja bila kuchoka.
 

vi. Husaidia kuongeza hamu ya tendo la ndoa.
vii. Husaidia kuurudisha nje uume ulio ingia ndani.
 

viii. Husaidia kutibu side effects za punyeto na matumizi ya muda mrefu ya dawa kali za (za kizungu ) za kuongeza nguvu za kiume.
 

ix. Husaidia kutibu chango la kiume.
x. Inakuwa uwezo  wa  kukaa  kifuani  kwa  muda  mrefu
xi. Pia   kurutubisha  mbegu  za  kiume
xii.. Dawa hii huwasaidia hata wanawake wanao sumbuliwa na tatizo la ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa.

JINSI YA KUIPATA DAWA : Unaweza kuja kuichukua ofisini kwetu au kwa wasio weza kufika ofisini kwetu tunatoa huduma ya kuwapelekea dawa mahali walipo ( DELIVERY ).
 

KWA WATEJA WA MIKOANI : Kwa wateja wa mikoani tunawatumia dawa kwa njia ya magari na wale wa Zanzibar tunawatumia dawa kwa njia ya meli.

KWA WATEJA WA NCHI JIRANI : Kenya, Uganda, Rwanda & Burundi tunawatumia dawa kwa njia ya mabasi.

Kwa wateja wa nje ya Afrika : Kwa wateja wa nje ya Afrika tunawatumia dawa kwa njia ya posta au DHL.

Kwa wateja wa SOUTH AFRIKA NA BOTSWANA.
Kwa wateja wetu waliopo South Afrika na Botswana tunawatumia dawa kwa njia ya mabasi au posta.
 

MAWASILIANO : Wasiliana nasi kwa simu namba 0766538384.

Tunapatikana  katika  eneo  la  CHANGANYIKENI  karibu  na  CHUO  CHA  TAKWIMU.
 
Kwa  maelezo  zaidi  kuhusu  tatizo  la  ukosefu  wa  nguvu  za  kiume, tembelea  
 

Kwa  maelezo  zaidi  tembelea   kuhusu  huduma  zetu, tembelea : http://www.neemaherbalist.blogspot.com//