BREAKING NEWS: Zitto Kabwe Amtaka Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu AJIUZULU Ifikapo leo jioni | HABARI MATUKIO TEKNOLOJIA NDANI NA NJE YA Tz

BREAKING NEWS: Zitto Kabwe Amtaka Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu AJIUZULU Ifikapo leo jioni


MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe amemtaka Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ifikapo leo jioni awe ametoa tangazo katika gazeti la serikali ili kuruhusu tozo mpya za mahoteli kwenye hifadhi la sivyo ajiuzulu cheo chake.

Zitto ameyasema hayo leo wakati akichangia kwenye majadiliano ya hoja za kamati bungeni.

  

Zitto amesema kuwa serikali inapoteza shilingi bilioni 2 kila mwezi kwa kitendo cha Waziri wa Utalii kutotoa tangazo katika gazeti la Serikali ili kuruhusu tozo mpya za mahoteli katika Hifadhi.

Tangu mwaka 2011 mpaka 2014, Serikali imepoteza tshs 80 bilioni.

SHARE

Unknown

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment