PICHAZ za hali ilivyokuwa UBUNGO leo APRIL 10 2015 | HABARI MATUKIO TEKNOLOJIA NDANI NA NJE YA Tz

PICHAZ za hali ilivyokuwa UBUNGO leo APRIL 10 2015

Vurugu kubwa zimezuka, yakachomwa matairi ya magari barabarani.. hakuna basi lolote la abiria kwenda mikoani lililokuwa limetoka wala hakuna daladala iliyokuwa ikipakia abiria katika eneo hilo.
Baada ya kuanza vurugu Polisi waliingilia kati na kutumia mabomu ya machozi ili kuwatawanya.
AW1A1328
AW1A1329
AW1A1332
AW1A1333
AW1A1336

AW1A1344
AW1A1346
AW1A1350
Muonekano wa stendi ya mabasi Ubungo kwa juu, hakuna gari hata moja ambayo ilisafiri kwenda Mikoani leo.

AW1A1352
AW1A1356
AW1A1359
Barabarani hazionekani gari za abiria, watu wanatembea kwa miguu.

DSC_0001
DSC_0002
DSC_0003
DSC_0012
DSC_0015
DSC_0017
DSC_0020
DSC_0021
DSC_0023
Wengine walizuia hata gari za watu binafsi kuonekana ikipakia abiria yoyote.

DSC_0025
AW1A1271
Baadi ya maeneo usafiri ni bodaboda, Noah na magari binafsi. Wengine wanatembea kwa miguu.
AW1A1275
Askari Polisi wakitoa matairi wa magari yaliyowekwa Ubungo

AW1A1278
AW1A1281
AW1A1284
AW1A1289
AW1A1292
AW1A1295
Kuna baadhi ya watu waliokamatwa kwa kuhusika na vurugu hizo

AW1A1307
Gari la Polisi likitoa matairi yaliyowekwa barabarani na kuchomwa moto.

AW1A1309
AW1A1314
AW1A1316
AW1A1317
AW1A1320
AW1A1322
AW1A1324
AW1A1327
AW1A1332
Madereva hao wamegoma kutokana na sababu mbalimbali, mojawapo ni shu ya utaratibu wa kutakiwa kwenda Chuoni kusoma tena baada ya muda wa leseni zao kuisha
SHARE

Unknown

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment